Jeremiah 49:7-8
7 aKuhusu Edomu: Hili ndilo asemalo Bwana Mwenye Nguvu Zote: “Je, hakuna tena hekima katika Temani?Je, shauri limewapotea wenye busara?
Je, hekima yao imechakaa?
8 bGeuka na ukimbie, jifiche katika mapango marefu kabisa,
wewe uishiye Dedani,
kwa kuwa nitaleta maafa juu ya Esau
wakati nitakapomwadhibu.
Copyright information for
SwhKC